Obadiah 18


18 aNyumba ya Yakobo itakuwa moto,
na nyumba ya Yusufu itakuwa mwali wa moto;
nayo nyumba ya Esau itakuwa bua kavu,
nao wataiwasha moto na kuiteketeza.
Hakutakuwa na watakaosalimika
kutoka nyumba ya Esau.”
Bwana amesema.

Copyright information for SwhKC